Nawasalimu wapendwa wote katika jukwaa hili,Tunaingia ndani ya nyumba
katika ghorofa hili la Mbeya Peak Hotel kujadili afya ya klabu
yetu,tunaingia tukiwa na shahuku kubwa ya kuendelea kuiweka Mbeya Press
Club yetu katika mstari ule ule wa klabu kongwe,strong yenye mwelekeo
mzuri wa kuigwa,kitakachojiri humu ndani kuhusu maamuzi ya "MEMBERS
POWER,"baada ya takribani masaa kama sita kutokana na unyeti wa ajenda
zenyewe tutawajuza,mwenyezi mungu atujalie hekima,busara,uvumilivu na
kuwa na moyo wa subira katika yote,Amina!.
Thompson Mpanji.
Thompson Mpanji.
No comments:
Post a Comment