Na Thompson Mpanji
KIJANA mmoja mfanyabiashara ndogo ndogo almaarufu Machinga,mkazi wa
Ntokela,Wilaya ya Rungwe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika kituo
kidogo cha polisi Kiwira leo kwa tuhuma za kumwingilia mnyama aina ya
ng'ombe usiku wa kuamkia leo kinyume na maumbile akidai ni masharti aliyopewa na mganga wa
jadi kuwa atakuwa tajiri kwa kupata fedha nyingi.
Mtuhumiwa amepelekwa na ng'ombe kituoni kwa hatua zaidi,taarifa zaidi utaendelea kuipata kupitia blog hii.
No comments:
Post a Comment