Wanawake ni wadau wakuu wa maendeleo endelevu!
Wanawake wakiwezeshwa wanaweza kuchangia katika maendeleo endelevu ya Jumuiya ya Kimataifa. Caritas Internationalis kwa kushirikiana na Mfuko wa Fidel Gotz, katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, watatoa jumla ya Euro elfu kumi kwa makundi mawili: Kundi la kwanza ni lile linalotekeleza miradi inayofadhiliwa na Caritas Internationali na sehemu ya pili, Mashirika mengine ya misaada yanayojipambanua kwa kuwajengea uwezo wanawake uwezo kiuchumi. Tuzo hii itatolewa hapo tarehe 16 Oktoba 2014 wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani.
No comments:
Post a Comment